×
Image

Yunus Kanuni Ngenda

Shekh Yunus Kanuni Ngenda: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mhakiki wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni Imamu na Khatwib Masjid Rahman, Mbezi Beach Dar Es Salaam Tanzania.

Image

Muhammad bin Abdul-Wahhab

Yeye ni Sheikh Muhammad bin Abdul-Wahhab bin Sulaiman A'ttamiymy, kazaliwa mwaka 1115هـ katika mji wa Uyaina Najdi katika Jazira ya kiarabu, ana vitabu vingi, na wameshuhudia juu yake wanachuoni kwa Elimu na Dini na Msimamo, na amefariki mwaka 1206 هـ Mwenyezi Mungu amrehemu akiwa na myaka 91

Image

Abdulmaliki Al Qasim

No Description

Image

Ali bin Abdul Rahman Hudhaifi

Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

Image

Saad Al-Ghamdi

Saad bin Saeed Al-Ghamdi, Msomaji maarufu mwenye sauti nzuri, imam na mhubiri msikiti wa Kano - Dammam - Saudi Arabia, na msimamizi mkuu wa kituo cha Imam Shatwiby cha Koran tukufu Dammam.

Image

Muhammad Nasiruddin Al-Albani

Mwana chuoni Shekh Muhammad Nasiruddin Al-Albani ni mmoja ya wanachuoni wa kiislam Mashuhuri katika zama za sasa na anazingatiwa Shekh Al-Albani nikatika wanachuoni wa Fani ya Hadithi mashuhuri wakipekee katika elimu ya Jarhi na Taadili (Kukosowa), Shekh Al-Albani ni Hoja katika Elimu ya Misingi ya Hadithi (Mustwalahu Alhadithi), walimzungumzia wanachuoni....

Image

Ahmed bin Abdul Halim bin Taymiyyah

Shaykh Al-Islam Ibn Taymiyyah Mungu Amrehemu: Ahmad Taqiy Al-Din Abu Al-Abbas Bin Abdul Halim Bin Abdul Salam Bin Abdullah Bin Abu Al-Qasim Alkhadhwar Bin Mohammed Bin Khadhwar Bin Ali Bin Abdullah Ibn Taymiyyah Al Harrany. Wametaja wanachuoni wa Tarjama Qauli tofauti katika sababu ya ya kuitwa familia yake kwa jina....

Image

Saud bin Ibrahim Al-Shuraim

Imamu na khatwibu wa Msikiti mtakatifu

Image

Abdul Rahman bin Abdul Aziz Al-Sudais

Imamu na khatwibu wa Muskiti mtakatifu. .

Image

Ibn Qayyim Al-Jawziyya

Ibn Qayyim Abu Abdullah al-Shams al-Din Muhammad bin Abi Bakr ibn Ayyub bin Saad bin Hariiz bin Makki Zainuddin kisha Kisha nimtu kutoka Damascus na anafuata Madhehebu ya Hanbali, anajulikana kwa jina la Ibn Qayyim Al-Jawziyya, Kazaliwa siku ya saba ya mwezi wa Safar Mwaka 691 H. Na alifariki usiku....