×
Image

Uislam - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia uislam,historia ya uislam. na ujumbe wa mwanadamu,na dini ya haki kwa allah,na chanzo cha kukengeuka mwanadamu,na wito wa uislam kwa ulimwengu.

Image

Cheo cha Maswahaba - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia cheo cha maswahaba,na nafasi yao katika umma wa kiislam, na thamani yao kwa allah,na uwajibu wa kutetea heshima yao.

Image

Uhatari Wa Kumshirisha Mwenyezimungu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.

Image

Sherehe Ya Aqidatul Wasitwiyyah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya ahlusuna wal jamaa na imekusanya mambo muhimu katika mambo yanayo takiwa na kila muislam kuyatambuwa.

Image

Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia thamani ya swala ya Alfajiri katika Jamaa katika mwezi wa ramadhani,na namna ambavyo zinavyo zidishwa thawabu za swala ya alfajiri.

Image

Kumuabudu Allah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia maana ya ibada na athari za ibada na juhudi za maswahaba katika kuifwaata dini. pia madahii inazungumzia maana ya lailaha ila allah.

Image

Dhamana Ya Kuingia Peponi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo 6 ambayo muislam amepewa dhamana ya kuingia peponi mwenye kuyahifadhi.

Image

Zama Za Fitna Na Jinsi Ya Kujiepusha - (Kiswahili)

• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho. • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika....

Image

Chimbuko la amani na msingi wa mshikamano - (Kiswahili)

Khutba hii inazungumzia chimbuko la amani,na misingi ya mshikamano.

Image

Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia namna ya kutawadha,na kuoga,na kutayamamu,kupaka juu ya khofu,na jinsi ya kutawadha mgonjwa.pia namna ya kuswali,yanayo chukiza katika swala,na yanayo batilisha swala,na sijda ya kusahau,na hukumu ya mtu asie swali.

Image

Simamisheni Dini Msifarikiyane - (Kiswahili)

Mada hii imezungumzia kusimamisha dini na umuhimu wake na misingi ya kusimamisha dini na madhara ya kufarikiyana.

Image

Makosa Yanayo Pingana Na Itikadi Sahihi - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia kumpwekesha allah,na umuhimu wa muislam kuwa na itikadi sahihi,na makosa yanayo pingana na itikadi sahihi.