×
Image

Mohammad Sharifu Famau

Shekh Muhmmad Sharifu Famau: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, pia alikua ni Mudir katika Madrast Tawhid mpaka alipofariki dunia katika mji wa Malindi nchini Kenya, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

Image

HARIDHI BIN SULAIMANI

No Description

Image

Aly Bahero

Shekh Ally Bahero: Ni miongoni mwa walinganiaji wakubwa Nchini Kenya, pia ni mwalim na ni Khatib Masjid Rahma, Bakarani Mombasa.

Image

Muhammad Ibrahim Al-Sabri

Nimlinganiaji na anajuhudi katika kufanya Daawa na nimtunzi wa vitabu.

Image

Athumani Saeed Ali

No Description

Image

Abdul Razak bin Abtan al-Dulaimi

Msomaji Abdul Razak bin Abtan Dulaimi: msomaji wa asili ya Iraq, kajitahidi katika utekelezaji wa usomaji wa Quran tukufu, na amesajili nakala kadhaa za Qur'ani.

Image

Abdullah Abdul Ghani Al-Khayyat

Abdullah Abdul Ghani Al-Khayyat - Mungu amrehem - imam na khatwibu wa Msikiti wa Makkah hapo awali.

Image

Yasser bin Rashid Al Dosari

Imam wa Msikiti wa Dakhil Mtaa wa Ghar-natwa mji wa Riyadh.

Image

Yasser Ibrahim Al Mazrui

No Description