×
Image

Sherhu Umdatul Ahkam 26 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya sita na yasaba, kuhusu na najsi ya mbwa, kisha amebainisha mbwa anaefaa kufugwa, kisha akabainisha namna ya kusafisha najsi ya mbwa, na akasema kuwa hadithi ya sita na ya saba zinabainisha kuwa mbwa ni najsi.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 25 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 24 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ameleza faida za hadithi ikiwemo, kujuzu kujitwaharisha katika maji yanayo tembea na inajuzu kukidhi haja katika maji yanayo tembea kwa dharura. Kisha amebainisha hadithi ya sita inayo zungumzia namna ya kuosha chombo kilicho lambwa na mbwa na nguruwe kisha ametaja taratibu za kufuga....

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 02 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Utangulizi wa mtunzi pia amezungumzia Umuhimu wa elim ya hadithi, na maana ya hadithi, na cheo cha Quraan na Sunnah pia amewarudi wenye kuzipinga Hadithi.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 01 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Historia fupi ya mwandishi wa kitabu hiki cha umdatul ahkami, Shekh Abdul Ghany Al Maqisy Allah amrehemu, na umuhim wa kuifanyia kazi elim.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 10 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Jinsi zilivyo kusanywa hadithi, kisha amebainisha namna ya kusherehesha hadithi ikiwemo kusoma hadithi kisha kufafanua maneno ya kiarabu kisha kubainisha faida zilizo patiana katika hadithi.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 11 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: mlango wa kwanza katika kitabu cha Umdatul Ahkam, kisha akabainisha maana ya twahara, kisha akaanza kusherehesha hadithi yakwanza na kutaja historia fupi ya maisha ya Omar bin Khatwab kwa ufupi (r.a).

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 19 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tatu, amebainisha daraja ya hadithi hiyo na akafafanua baadhi ya maneno katika hadithi kama vile (waylu) na (aqaab).

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 18 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: umuhimu wa kujifunza mambo ya muhimu katika udhu kabla ya kuswali, kisha akataja faida zinazo tokana na hadithi: swala ya mwenye hadathi haikubaliwi, hadadhi ni katika vitenguzi vya udhu…

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 17 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.

Image

Umoja Katika Uisilamu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umoja na mshikamano katika dini na faida zake.

Image

Sherhu Umdatul Ahkam 03 - (Kiswahili)

Shekh anazungumzia: Wadhfa wa Hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba zinaweka wazi na kufafanua namna ya utekelezaji wa amri za Qur’an tukufu, pia amezungumza maneno ya Imamu Suyutwi kuhusu cheo cha hadithi za mtume(s.a.w).