×
Image

Itikadi Sahihi na umuhimu wake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislamu kuwa na itikadi sahihi na ubora wa kuamini Qadari, pia imezungumzia sababu za baadhi ya waislamu kuacha itikadi iliyo sahihi.

Image

Umuhimu Wa Tawhidi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa tamko la twuhiid (Lailaha Illa Allah),na lengo la kuumbwa kwetu, na aya zilizo bainisha lengo la kuumbwa kwetu,na sababu ya kutumwa mitume,na maana ya twaghuti,na malipo ya atakae kufa na tawhiidi ya (Lailaha Illa Allah).

Image

Sherehe Ya Misingi Mitatu Ya Uislam - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia sherehe ya misingi mitatu.

Image

Itikadi Dahihi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.

Image

Uislam nidini ya kati na kati - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia uislam nidini ya kati nakati,yani nidini ya uadilifu, na namna uislam ulivyo piga vita ghuluu.mifano ya uadilifu wa mtume(s.a.w)na tofauti baina ya uislam na dini zingine potovu.

Image

Umuhimu wa Sunna - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna uislamu ulivyo na hali mbaya kwa sasa kutokana na watu kuacha Sunna za Mtume (s.a.w), pia imefafanua maana ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni mjumbe wa Allah. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Utume, na kwamba Mitume wote (s.a.w) ni chaguo la Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia....

Image

Sifa Ya Swala Ya Mtume (S.A.W) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia nanma ya kuadhini na fadhila za adhana na sifa za muadhini,na ubora wa kusoma duwa baada ya adhana na sababu za kukubaliwa dua.na sifa ya swala ya mtume alayhi salam.

Image

Watu Wanyumba Ya Mtume - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia sherehe ya kitabu cha tawhidi,na uwajibu wa kumswalia mtume,na namna ya kumswalia mtume,na fadhila za ahlul baiti,na ubatilifu wa itikadi ya mashia.matusi ya mashia kwa ahlul baiti.

Image

Unafahamu Maana Ya Ibada ? - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia ufafanuzi kuhusu maana halisi ya ibada,na mtizamo mbaya ju ya maana ya ibada,na lengo la kuumbwa mwanadamu,na lengo la kutumwa mitume alayhimu ssalam

Image

Kumuabudu Allah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia maana ya ibada na athari za ibada na juhudi za maswahaba katika kuifwaata dini. pia madahii inazungumzia maana ya lailaha ila allah.

Image

Umuhimu Wa Imani 14 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuhamasisha watu katika kutafuta elimu, pia imezungumzia chuki za makafiri juu ya waislamu na tofauti kati ya dola ya kiislamu na dola isiyokuwa ya kiislamu.

Image

Umuhimu Wa Imani 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mipango ya makafiri juu ya kuuangamiza uislamu na kwamba ni mipango ya muda mrefu, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kujidhatiti katika vyuo, misikitiki na majumbani ili kuwajenga vijana wa kiislamu katika imani ya kweli.