×
Image

Uislam - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia uislam,historia ya uislam. na ujumbe wa mwanadamu,na dini ya haki kwa allah,na chanzo cha kukengeuka mwanadamu,na wito wa uislam kwa ulimwengu.

Image

Simamisheni Dini Msifarikiyane - (Kiswahili)

Mada hii imezungumzia kusimamisha dini na umuhimu wake na misingi ya kusimamisha dini na madhara ya kufarikiyana.

Image

Sherehe Ya Misingi Mitatu Ya Uislam - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia sherehe ya misingi mitatu.

Image

Unafahamu Maana Ya Ibada ? - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia ufafanuzi kuhusu maana halisi ya ibada,na mtizamo mbaya ju ya maana ya ibada,na lengo la kuumbwa mwanadamu,na lengo la kutumwa mitume alayhimu ssalam

Image

Chimbuko la amani na msingi wa mshikamano - (Kiswahili)

Khutba hii inazungumzia chimbuko la amani,na misingi ya mshikamano.

Image

Zama Za Fitna Na Jinsi Ya Kujiepusha - (Kiswahili)

• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho. • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika....

Image

Cheo cha Maswahaba - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia cheo cha maswahaba,na nafasi yao katika umma wa kiislam, na thamani yao kwa allah,na uwajibu wa kutetea heshima yao.

Image

Leaving the Prayer - (Kiswahili)

No Description

Image

Sherehe Ya Aqidatul Wasitwiyyah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya ahlusuna wal jamaa na imekusanya mambo muhimu katika mambo yanayo takiwa na kila muislam kuyatambuwa.

Image

The View People Of Sunnah Towards Shiites - (Kiswahili)

The View People Of Sunnah Towards Shiites

Image

Uhatari Wa Kumshirisha Mwenyezimungu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.

Image

Kumuabudu Allah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia maana ya ibada na athari za ibada na juhudi za maswahaba katika kuifwaata dini. pia madahii inazungumzia maana ya lailaha ila allah.