×
Image

Msimamo Wa Uislam Kuhusu Jihadi Katika Njia Ya Allah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kuhusu kupigana Jihadi katika njia ya Allah, na upambanuzi wake, na tatizo la waislam wengi kuto fatilia mambo kwa kina, na madhara ya Hamasa.

Image

Majukumu Ya Kuamrisha Mema Na Kukataza Mabaya - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa kuamrishana mema na kukataza mabaya na nisababu ya kufanywa ummat muhammad kuwa bora na nisifa ya mtume (s.a.w)pia nisifa ya manabi wa allah (alayhimu ssalam).

Image

Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia hukumu ya kuishi katika miji ya kikafiri na mwongozo kamili kuhusu mambo yanayo takiwa kuyafanya mwislam.

Image

Umuhimu Wa Elimu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa elimu ya dini na kubainisha haki ya mtoto katika kumsomesha elimu ya dini,na majukumu ya wazazi kwa watoto,khatari ya kusoma katika mashule ya kikafiri.

Image

Dhambi Ya Uzinifu Na Sababu Zake - (Kiswahili)

1- Mada hii inazungumzia: Uzito wa dhambi ya uzinifu na kwamba ni katika madhambi makubwa yenye kuangamiza, pia imezungumzia makatazo ya Allah juu ya uchafu wa zinaa na kuto kuikaribia zinaa, pia amezungumzia nyumba za zinaa. 2- Mada hii inazungumzia: sifa za watu wema na adhabu za wazinifu, kisha amebainisha....

Image

Elim Ya Sheria - (Kiswahili)

Mada hii nazungumzia ubora wa elim ya sheria ya Dini ya kiislam, na umuhim kusoma elim nyingine.

Image

kuifanyia kazi Qur'ani na mafundisho ya Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake. - (Kiswahili)

Mada imekusanya ushahidi kutoka katika Qur'ani na sunna juu ya ulazima wa kuifanyia kazi Qur'ani na sunna

Image

Umuhimu Wa Hisba Katika Uislam - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa hisba katika uislam,maana yake na uwajibu wa hisba na mfano wa hisba katika wakati wa mtume.

Image

Hypocrisy - (Kiswahili)

No Description

Image

Commanding Beneficence And Forbiding Maleficence - (Kiswahili)

Commanding Beneficence And Forbiding Maleficence

Image

Tumeifanyia nini dini yetu ? - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.

Image

Sampuli Za Jihadi Katika Njia Ya Mwenyezi Mungu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia aina za jihadi,akasema shekh kuwa jihadi ina aina mbili :Jihadiya kujitetea, na Jihadi ya ilio tangazwa na Kiongozi.