×
Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 31 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 30 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 26 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 24 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Adabu za kumtembelea ndugu katika Uislamu na namna ya kumuandalia mgeni chakula, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwalea watoto katika malezi bora ya kiislamu.

Image

MUHAMMAD NIMJUMBE WA ALLAH 02 - (Kiswahili)

Anuwani ya mada hii ni: Muhammad ni mjumbe wa Allah, imezungumzia pia baadhi miujiza ya Mtume s.a.w

Image

Je, inawezekana Mwenyezi Mungu Mtukufu kuonekana kwa macho? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Watu saba watakaokuwa katika kivuli cha Mwenyezi Mungu - 83 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Pepo na Moto 02 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna Mwenyezi Mungu alivyoiumba Pepo na vilivyo ndani yake, pia imezunguzia jinsi walivyo umbwa wanawake wa Peponi.Alla tuingize peponi.

Image

Pepo na Moto 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa majina ya Pepo, pia imezungumzia namna watu watavyoingia Peponi kwa rehma za Alla.

Image

Pepo na Moto 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Pepo imezungukwa na yanayo mkera mja, na Moto umezungukwa na starehe, pia imezungumzia muhimu wa kujitahidi kufanya ibada na kuacha starehe na maasi.

Image

Pepo na Moto 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Milango nane ya Peponi na watakaoingi katika milango hiyio, pia imezungumzia kuwa ibada ndio zinazo wapelekea watu kuingia Peponi.

Image

KHUTBA YA EDDI KUHUSU IKHLASI - (Kiswahili)

KHUTBA HII YA EDDI ALFITRI INAZUNGUMZIA KUHUSU UMUHIMU WA IKHLASI KATIKA IBADA NA UWAJIBU WA MWISLAM KUENDELEZA IBAADA BAADA YA RAMADHANI.