×
Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 087 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Muda ulio bora kwa swala za usiku (Qiyamu layli), pia imezungumzia adabu za swala ya usiku

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 086 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Malipo ya mwenye kuswali usiku (Qiyamu layli), pia imeelezea kushuka kwa Allah katika nusu ya mwisho ya usiku

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 085 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Swala za usiku (Qiyamu layli) ni utukufu kwa muumini, pia imeelezea umuhimu na ubora wa kusoma Qur’an

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 084 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Daraja la watu wenye kuitikia wito wa Allah, pia imeelezea umuhimu wa kufuata sunna na hatari ya bid’a (uzushi)

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 083 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislamu kujiepusha na sifa mbaya, pi a, imeelezea ubora wa kuwasaidia wenye shida na mafukara

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 082 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Kuacha swala na sababu ya kuporomoka kwa maadili katika zama zetu, pia imeelezea jinsi baadhi ya wanawake wanavyo chupa mipaka

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 081 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Alama za watu wema hapa duniani, pai imeelezea umuhimu wa kujipamba na sifa ya ucha Mungu

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 080 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ubora na umuhimu wa swala ya Qiyamu layli (Tahajud), pia imeelezea sifa za waumini wa kweli

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 079 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Utaratibu wa kuswali swala ya Taraweh, pia imeelezea maana ya sunna ya Qiyamu layli (Tahajud)

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 078 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Swala ya Taraweh namna alivyoiswali Mtume (s.a.w) na Maswahaba zake, pia imeelezea umuhimu wa swala ya Taraweh

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 077 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhumu na ubora wa swala ya Dhuhaa, pia imezungumzia idadi ya rakaa ya swala ya Dhuhaa.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 076 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Nafasi na wakati wa kusoma dua ya Kunuti katika swala, pia imeelezea wasia wa Mtume (s.a.w) aliomuusia Omar Bin Khatwab