×
Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 063 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Makatazo ya kuiendea swala na hali umekula kitunguu, pia imeelezea umuhimu wa kujiepusha na mambo yenye kukera watu

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 062 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwa na utulivu katika swala, pia imeelezea makatazo ya kurukuu kabla ya kufika katika swafu

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 061 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Makatazo juu ya kutema mate ndani ya msikiti, pia imeelezea makatazo ya kujizuia kutokana na haja ndogo au kubwa wakati wa swala

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (32) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Alama za kukubaliwa tawba, kisha amebainisha hali ya malaika katika kuandika mema na maovu kwa mwanadamu.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (31) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: mwenye kutubiya ana inufaisha nafsi yake, na tawba nisababu ya kupata rizki.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (30) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: mambo ya wajibu kwa muislam baada ya kufanya tawba, kisha imebainisha kuwa Allah anafurahi tawba ya mja na anaikubali.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (29) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: kwamba mwenye kutubia Allah anabadilisha maovu yake kuwa mema, kisha ameelezea khatari ya madhambi makubwa.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (28) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Matunda ya tawba, na ameeleza kuwa tawba nisababu ya mafanikio katika dunia na akhera.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (27) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: namna walivyo tubiya mitume wa Allah kama nabii Yunus alayhi salaam, kisha akabainisha kuwa mja kuacha kutubiya ni kuidhulumu nafsi yake.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (26) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: kuwa bawba ni njia ya Mitume, kisha amebainisha kuwa uadui wa Shetani na mwanadamu ulianza tangu kwa Adamu alayhi salaam.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (25) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: katika malezi ya qur’an nikutend yale yanayo mridhisha Allah, kisha amebainisha kwamba mtu atafufuliwa na Yule anae mpenda.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (24) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: sababu za kuingia peponi, kisha amebainisha uwajibu wa kusambaza elimu na kubainisha haki.