×
Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (23) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: nivipi mja atamshukuru Mola wake, na nivipi motto atawashukuru watoto wake, kisha akabainisha sifa ya mtume katika kumshukuru Mola wake.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (22) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: sababu za tawba, katika hizo sababu: ni kwasababu Allah ni mwingi wa kukubali tawba, na kwakuwa Mtume anaitwa mtume wa tawba, kisha akabainisha maana ya mnafiki.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (21) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Khatari ya kughafilika, na hali za watu katika hali ya kughafilika, kisha akabainisha kuwa akhera nibora kuliko dunia.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (20) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: mawakala wa shetani katika wanadamu, nao niwale wanao wafanyia mipango watu wa maasi ya kuzini na riba na mengineyo, kisha akabainisha kuwa kinga ya dhambi ni tawba

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (19) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Khatari ya madhambi, na ametaaja baadhi ya sababu za tawba, kisha akabainisha ahadi ya Shetani ya kuwapoteza wanadamu.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (18) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Kwamba Allah anasamehe madhambi yote, kisha ameelezea viziwizi vya tawba, na yanayo mfaa mtu baada ya kufa.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (17) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: hali ya Mtume alayhi salaam katika tawba kisha amebainisha sababu za tawba.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (16) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za kukubaliwa tawba nikurejesha haki za watu, kisha amebainisha aina ya haki za watu: Heshima za watu au mali zako

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (15) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Sharti za tawba yakweli, kisha ameelezea uwajibu wa kushikamana na ibada kwa marais na wafalme na maaskari.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (14) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: tiba ya madhambi na maasi katika suratu Tahreem, kisha ameelezea maana ya Tawba na umuhimu wake.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (13) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya kheri kabla ya muda kumalizika, kisha ameelezea kuwa binadamu na watu ndio kuni za moto wa jahanam.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (12) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Uwajibu wa mtu kuiokoa nafsi yake kabla ya watu wengine, kisha imeelezea khasara ya mashekh na walinganiaji wanao khalifu dini siku ya Qiyama.