×
Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (11) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuulea moyo, na kwamba moyo ndio mashine inayo muendesha mtu, kisha ameelezea malezi katika Suratu Tahriim.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (10) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: miongoni mwa tiba ya ususuwavu wa moyo ni kuwa na elimu kisha akabainisha faida za elimu katika uislam

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (09) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: miongoni mwa faida ya kumuamini Allah ni kupata utulivu wa moyo, kisha akaelezea faida za kuwa na utulivu.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (08) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: tiba ya ususuwavu wa moyo, ikiwemo Kumuamini Allah na daraja za kumuamini Allah, kisha akabainisha kuwa imani ndio msingi wa maisha bora

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (07) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: madhara ya kuto kuifuata Quraan pia ameelezea madhara ya kuwazulia watu, na akamalizia kwa kuelezea maana ya kufilisika.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (06) - (Kiswahili)

Malezi ya kiisla katika Quraan amebainisha Asili ya dini ya mwanadamu, kisha amebainisha kuwa Allah hawaongozi watu wauvo.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (05) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: neema ya Qur’an na Uharam wa shirki na maana yake kisha akabainisha watu wakwanza kuulizwa siku ya Qiyama.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (04) - (Kiswahili)

Katika malezi ya uislam katika Qurani madhara ya kuwa na moyo mgumu, na ubaya wa kujifananisha na mayahudi, kisha amebainisha sababu ya kuto nufaika na Qur’an.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (03) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuihesabu nafsi, kisha akabainisha umuhimu wakuitafuta pepo na kuipa nyongo dunia.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (02) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Misingi ya matendo mazuru na masharti ya matendo mema, kisha akabainisha ufupi wa umri wa Ummat Muhamad.

Image

Malezi ya Kiislam ndani ya Qur’an (01) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa malezi ya kiislamu katika jamii, pia imezungumzia, lengo la kuumbwa kwa mwanadam na kuletwa duniani.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 60 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mambo ambayo yakifanywa ndani ya swala yanapunguza ukamilifu wa swala, pia imeelezea hatari ya kufanya mchezo katika swala.