×
Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 47 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna alivyokuwa akisoma Mtume (s.a.w) katika swala, pia imeelezea kisimamo cha Mtume (s.a.w) katika swala zake.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 46 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mambo yaliyotofautiana katika rakaa ya kwanza na ya pili, pia imezungumzia suala la kutikisa kidole katika tahiyyatu.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 45 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna ya kujiepusha na mkao wa mbwa katika sijida, pia imezungumzia sehem nne zinazofaa kuinua mikono ndani ya swala.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 44 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna ya kusujudu baada ya kuitidali kutoka katika rukuu, pia imeelezea viungo saba katika sijida.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 43 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo muhimu katika swala, pia imezungumzia aina za dua za ufunguzi katika swala.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 42 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo muhimu ya kufanya kabla ya kuswali, pia imeelezea maana ya takbiiratul ihram (takbiira ya kuhirimia swala).

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 41 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Nini afanye mtu ambae kumeadhiniwa haliyakuwa yupo ndani ya msikiti, pia imeelezea mambo yanayotakiwa kutekelezwa kabla ya kuingia katika swala.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 40 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Dua baada ya adhana, pia imezungumzia umuhimu wa kuomba dua baada ya adhana na kuwaombea wazazi, watoto na wengineo katika uislamu.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 39 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna ya kumswalia Mtume (s.a.w) baada ya adhana, pia imezungumzia fadhila anazopata mwenye kumswalia Mtume (s.a.w).

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 38 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mambo ambayo yanamuhusu Muadhini, pia imezungumzia namna ya kumfuatisha muadhini wakati anapotoa adhana.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 37 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya Adhana ya Bilali (r.a) na Adhana ya Abii Mahdhura (r.a), pia imezungumzia mpangilio wa Adhana.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 36 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Hukumu ya kuadhini ukiwa twahara, pia imezungumzia ubora wa kuadhini kwa sauti nzuri.