×
Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 35 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuadhini katika mazingira yoyote, pia imezungumzia ubora kukubali na kufuata haki.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 34 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwenye kutoa Adhana anaombewa msamaha na kila chenye kusikia Adhana hiyo, pia imeelezea mitihani wanayopata waadhini wa zama hizi.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 33 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ubora wa Adhana na malipo anayopata Muadhini, pia imeelezea umuhimu wa kwenda mapema msikitini.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 32 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Adabu na utaratibu wa kuelekea katika swala, pia imeelezea umuhimu na ubora wa safu ya mbele kwa mwanaume.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 31 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kuondoa najisi na kuelekea qibla, pia imeelezea umuhimu wa kusafisha nia katika ibada.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 30 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kusitiri utupu (uchi), pia imeelezea umuhimu wa kuchunga mavazi ndani na nje ya swala.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 29 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa shariti za swala ni kuingia kwa wakati, pia imezungumzia nyakati za swala na namna ya kuhifadhi swala.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 28 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Tofauti ya kuadhini na kukiqim swala, pia imeelezea umuhimu wa kuzijua sharti za swala ili kuswali kama inavyotakiwa.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 27 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna ya kuadhini kisunna na utaratibu wake, pia imeelezea bid’aa zinazozushwa ndani ya adhana.

Image

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 26 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa swala na hasara ya mtu asie swali, pia imezungumzia maana ya adhana na idadi ya waadhini wa Mtume (s.a.w).

Image

Kutowa fat’wa bila elimu -66 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Kukaa juu ya kaburi -24 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.