×
Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa umuhumu wa kufana mema na uwajibu wa kukumbuka makosa anayo yafanya mwanadamu, kasha amesema kuwa watu wote wanakosea.

Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 05 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi, ameeleza qauli za watu wema katika kuwahusia watu uchamungu, pia amewahusia watu kumcha Allah katika kila Nyanja za maisha.

Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi, amezungumzia umuhimu wa kuwahusia watu kumcha Allah, na kwamba watu wema walikuwa wakiwahusia watu kumcha Allah, kama Abubakari na Omar (r.a)

Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 03 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi anaendelea kutaja faida za Uchamungu kama kupendwa na Allah, kuondolewa na khofu na huzuni.

Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 02 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi amebainisha matunda yanayo patikana katika uchamungu, ni kinga na maaduwi, na atampa nguvu na nusra, na atampa njia ya kujiepusha na matatizo, na kupata wepesi.

Image

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 01 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Utambulisho wa Muadhi bin Jbal r.a, na nafasi yake kwa mtume na sifa za muadhi, kisha ameeleza wasia wa mtume kwa Muadhi, kasha ameeleza yalio kuja katika wasia ikiwemo maana ya Uchamungu.

Image

Watu saba watakaokuwa katika kivuli cha Mwenyezi Mungu - 83 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Wenye kumtegemea Mwenyezi Mungu - 81 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Ubora wa kumtegemea Mwenyezi mungu - 49 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Kusoma Ayat Kursiyy baada ya swala ya faradhi - 30 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Kuswali katika swafu ya kwanza - 20 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Kuswali swala ya Ishaa na Alfajiri kwa jamaa - 19 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo amrishwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.