×
Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 30 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake29 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kwenda mapema msikitini, pia imezungumzia faidha ya swala ya jamaa na umuhimu wa kukumbuka neema za Allah kabla ya kuulizwa siku ya Qiyama.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 28 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu na ubora kwa mwanamke wa kiislamu kuswalia nyumbani, pia imezungumzia fadhila anazopata mtu anapokaa msikitini akisubiri kuswali.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 27 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 26 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 25 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 24 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Adabu za kumtembelea ndugu katika Uislamu na namna ya kumuandalia mgeni chakula, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwalea watoto katika malezi bora ya kiislamu.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 23 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Sababu ya Qabil kumua ndugu yake Habil na namna alivyomzika, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kuua na umuhimu kwa muislamu kujutia madhambi.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 21 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujitolea damu na kumuongezea mgonjwa na kwamba kumuona na kumsaidia mgonjwa ni sababu ya kupatana kwa watu waliokosana, pia imezungumzi umuhimu wa waislamu kuwa kitu kimoja

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 20 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kumsaidia, kumtembelea na kumfariji mtu hasa anapokua mgonjwa, pia imezungumzia namna baadhi ya Waislamu wanavyo ipuuzia na kuisahau Sunna hii

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 19 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sababu za Allah kumlipa Pepo mtu mwenye kumtembelea mgonjwa na namna ya kumtamkisha mgonjwa kalmia ya laa iLLaha illa LLah, pia imezungumzia umuhimu wa muislamu kujiandaa na kifo