×
Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 18 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: ukamilifu wa mada ilio pita ikizungumzia maana ya kumswalia mtume (s.a.w) kisha amebainisha namna ya kumswalia mtume, na hatari ya uzushi katika dini.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 17 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa ametaja ubora wa mkutembelea mgonjwa, ikiwemo Malaika elfu sabini wanamuombea dua, na kuzungukwa na rehma, pia imefafanua maana ya malaika kumswalia.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 16 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa au ndugu katika imani na namna Maswahaba wa Mtume (s.a.w) walivyo dumu na Sunna hii, pia imezungumzia fadhila na malipo yake.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 15 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kumtembelea mgonjwa, na ubora wake pa amezungumzia hali ya waislam katika zama hizi, na kwamba kumtembelea mgonjwa ni ibada ilio hamwa.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 14 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika namna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia umuhimu wa kufuata mwenendo wa Mtume (s.a.w), na ameongelea uwajibu wa usafi na ameendelea kutaja nyakati za kupiga mswaki.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 13 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika taratibu za kupiga mswaki na miongoni mwa faida na tiba inayopatikana katika kupiga mswaki, pia imezungumzia nyakati ambazo ni muhimu na ni Sunna kupiga mswaki.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 12 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya matendo mema kwa siri bila ya kujionyesha mbele za watu, nakwamba ibada za siri nisababu ya kujibiwa dua ikiwa ni kwa ikhlas.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 11 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika umuhimu wa kutoa na kujitolea kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa kuwasaidia masikini na hatari ya ubakhili

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 10 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Aina na dalili za ucha Mungu, nakwamba miongoni mwa dalili za ucha Mungu ni kutumia kitabu cha Alllah na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa Muislamu kujiandaa na Akhera.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 09 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mafundisho ya Mtume (s.a.w) katika kufurahishana na kusaidiana mke na mume ndani ya ndoa, pia imezungumzia njia sahihi za kumaliza ugomvi baina ya mume na mke. Kisha ametaja faida za mswaki.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kutimiza lengo la ndoa na umuhimu wa wanawake wa kiislamu kumuiga Mama Aisha (r.a), pia imezungumzia umuhimu wa subra kwa wana ndoa.

Image

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).