×
Image

Araheeq Al-Makhtum 26 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea faida zinazopatikana kwenye kisa cha Swahaba Suhaib Alrumi na namna alivyokuwa na subra kwajili ya Allah.

Image

Araheeq Al-Makhtum 25 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea namna Abuu Jahl alivyokuwa akimchukia Mtume Muhammad (s.a.w) na maudhi aliyokuwa akimfanyia.

Image

Araheeq Al-Makhtum 24 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea namna mke wa Abuu Lahab kumchukia Mtume Muhammad (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 23 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea chuki za Abuu Lahab kwa Mtume Muhammad (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 22 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea ya kwamba uislam ni dini ya Allah na siyo dini ya mtu au kabila.

Image

Araheeq Al-Makhtum 21 - (Kiswahili)

Mada hii inawaelezea Maquresh kwa Abuu Twalib na namna walivyomfitini ili aache kunusuru Mtume Muhammad (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 20 - (Kiswahili)

Mada hii inamuelezea Abuu Twalib alipo mnusuru Mtume Muhammad (s.a.w) na kumpa msimamo.

Image

Araheeq Al-Makhtum 19 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea vitisho vya Maquresh kwa Abuu Twalib kwajili ya mtume Muhammad (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 18 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea kisa cha kundi la Maquresh walivyoenda kumshitaki Mtume Muhammad (s.a.w) kwa Abuu Twalib.

Image

Araheeq Al-Makhtum 17 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea chuki za makafiri kwa waislamu na imeelezea baadhi ya mifano.

Image

Araheeq Al-Makhtum 16 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea namna Maswahaba (r.a) walivyotoa mali zao kwa ajili ya Allah, mfano wa Abubakar Swiddiq na wengineo.

Image

Araheeq Al-Makhtum 15 - (Kiswahili)

Mada hii inatahadharisha juu ya kuwadharau Maswahaba na imezungumzia namna alivyo silimu Swahaba mwanamke Zinirah (r.a).