×
Image

Araheeq Al-Makhtum 14 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea mashaka waliyoyapata Maswahaba katika njia ya Allah na namna walivyo fanya subra.

Image

Araheeq Al-Makhtum 13 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea subra aliyoifanya Swahaba Bilal bin Rabaah kwa ajili ya Allah.

Image

Araheeq Al-Makhtum 12 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea faida zinazopatikana katika kisa cha Swahaba Suhaib Alrumi na umuhimu wa kufanya subra kwa ajili ya Allah.

Image

Araheeq Al-Makhtum 11 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea kisa cha Swahaba Suhaibu Alrumi Allah amridhie na namna alivyoteseka kwajili ya Allah.

Image

Araheeq Al-Makhtum 10 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea subra waliyofanya Maswahaba katika kutetea Uislam.

Image

Araheeq Al-Makhtum 09 - (Kiswahili)

Mada hii inawaelezea Maswahaba walioteswa kwajili ya Allah na mafunzo waliyo yapata kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 08 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea uharamu wa kuwatukana Maswahaba na inatahadharisha kukaa kwenye vikao ambavyo vinawazungumzia vibaya maswahaba.

Image

Araheeq Al-Makhtum 07 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea mateso walio yapata maswahaba na waislam walio tangulia na wa leo na jinsi kusoma jinsi walivyo teseka kwajili ya allah.

Image

Araheeq Al-Makhtum 06 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea mbinu ambazo zinatumiwa na makafiri ili kuwapoteza wislamu na kuwaweka mbali na Qur’an.

Image

Araheeq Al-Makhtum 05 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea miongoni mwa mbinu za Maqureshi katika kuzuia ujumbe wa Allah aliopewa Mtume (s.a.w).

Image

Araheeq Al-Makhtum 04 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea namna Maqureshi walivyo mtuhumu Mtume (s.a.w) kuhusu utume wake pia imzungumzia ubaya wa shubha na husda.

Image

Araheeq Al-Makhtum 03 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea maana ya shubha, na imesisitiza waislamu juu kujiepusha na shubha.