×
Image

Kumtaja Allah kuna rahisisha kila gumu -03 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Ubora wa kumtaja Mwenyezi Mungu na faida zake katika maisha ya kila siu, na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Kumtaja Allah katika kutekeleza ibada -02 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Ubora wa kumtaja Mwenyezi Mungu na faida zake katika maisha ya kila siu, na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Ubora wa kumtaja Allah -01 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Ubora wa kumtaja Mwenyezi Mungu na faida zake katika maisha ya kila siu, na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Image

Safari Ya Mwisho 16 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mtihani wakati wa kukata roho, pia imezungumzia umuhimu wa kuomba mwisho mwema, na kujikinga kwa Allah na adhabu za kaburi.

Image

Safari Ya Mwisho 15 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umauti uko mbele ya kila mtu na hayakimbiliki, pia imeelezea juu ya kujiaandaa kwa matendo mema kabla ya umauti.

Image

Safari Ya Mwisho 14 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuyazuru makaburi ili kujikumbusha na akhera, pia imeelezea kuwa hakuna atakaeishi milele katika hii dunia.

Image

Safari Ya Mwisho 13 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Kujianda na safari ya akhera ni kwa kutoa mali katika njia ya Mwenyezi Mungu, pia imeelezea ubora wa kuwalea mayatima.

Image

Safari Ya Mwisho 12 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kudumu katika kusoma Qur’an tukufu ili kujitengenezea njia nzuri akhera, pia imeelezea ubora wa kuamrisha mema na kukataza maovu.

Image

Safari Ya Mwisho 11 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Siku ambayo watu wote watarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia hasara ya wale wanaoabudu kisichokua Mwenyezi Mungu.

Image

Safari Ya Mwisho 10 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Duniani wote tunapita na kila mtu ataulizwa kutokana na matendo yake, pia imezungumzia mtu bora mbele ya Allah ni mcha Mungu.

Image

Safari Ya Mwisho 09 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuishi kwa kufuata mfumo wa kiislamu na kumuogopa Allah katika siri na bayana, pia imezungumzia hatari ya ubaguzi katika uislamu.

Image

Safari Ya Mwisho 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanadamu kumcha Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia ulazima wa kuchunga mipaka ya Mwenyezi Mungu.