×
Image

Endapo tutatofautiana tunarejea wapi? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Je, Inajuzu kuuliza hekima ya Mwenyezi Mungu katika kuweka sheria? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 30 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni dua aliyomuombea Swahaba Abdi LLahi bin Abbas (r.a) ya kwamba Allah amzidishie elimu, pia imezungumzia umuhimu wa kujifunza kupitia miujiza ya Mtume (s.a.w).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 29 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni dua, pia imezungumzia dua ya Mtume (s.a.w) aliyomuombea Swahaba Nabigha Alja’ad (r.a).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 28 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni Dua aliyo muombea Swahaba Abdu Rahman bin A’ufy (r.a) na ikaleta maajabu na natija kubwa sana, pia imeelezaa kwa ufupi kisa cha Sa’ad bin Abi Waqaas.

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 27 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni ni miujiza katika Dua anayoomba au kuombea watu, pia imezungumzia kisa cha Swahaba Anas bin Malik (r.a) na Dua aliyoombewa na Mtume (s.a.w).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 26 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni utabiri wake juu ya ushindi katika kikosi alicho kiongoza Ally bin Abi Twalib (r.a), pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) ktk kuponya walio pooza katika maswahaba(r.a).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 25 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni miujiza ya kuwaponya watu waliokuwa na maradhi mbali mbali, pia imezungumzia tofauti ya miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w) na Mitume wengine (s.a.w).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 24 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni ule muujiza wa kujibu maswali juu ya mambo tisa waliyomuuliza Mayahudi, pia imezungumzia miongoni mwa itikadi mbovu za Mayahudi.

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 23 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akijibu maswali ya Myahudi, pia imezungumzia mambo tisa aliyoulizwa Mtume (s.a.w) na Mayahudi, yaliyokuwa wakati wa Nabii Mussa (a.s).

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 22 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wa kujibu maswali matatu aliyoulizwa na Abdallah bin Salam, pia imezungumzia namna Malaika Jibril alivyomjia Mtume (s.a.w) na kumpa majibu.

Image

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 21 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni makundi aliyo onyeshwa katika umati wake, pia imezungumzia miujiza aliyoacha ameisema na inaendelea kutokea mpaka kiyama kitasimama.