Mada hii inazungumzia:, ufafanuzi wa muujiza uliotokea katika sulhul-hudeybia, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kutemea mate katika kisima kilichokuwa kime kauka maji na maji yakajaa.
- Lugha zote
- português - Portuguese - برتغالي
- azərbaycanca - Azerbaijani - أذري
- اردو - Urdu - أردو
- Ўзбек - Uzbek - أوزبكي
- Deutsch - German - ألماني
- Shqip - Albanian - ألباني
- español - Spanish - إسباني
- فلبيني مرناو - فلبيني مرناو - فلبيني مرناو
- براهوئي - براهوئي - براهوئي
- български - Bulgarian - بلغاري
- বাংলা - Bengali - بنغالي
- ဗမာ - Burmese - بورمي
- bosanski - Bosnian - بوسني
- polski - Polish - بولندي
- தமிழ் - Tamil - تاميلي
- ไทย - Thai - تايلندي
- татар теле - Tatar - تتاري
- română - Romanian - روماني
- isiZulu - Zulu - زولو
- سنڌي - Sindhi - سندي
- සිංහල - Sinhala - سنهالي
- Kiswahili - Swahili - سواحيلي
- svenska - Swedish - سويدي
- нохчийн мотт - Chechen - شيشاني
- Soomaali - Somali - صومالي
- тоҷикӣ - Tajik - طاجيكي
- غجري - غجري - غجري
- فلاتي - فلاتي - فلاتي
- Pulaar - Fula - فولاني
- Tiếng Việt - Vietnamese - فيتنامي
- قمري - قمري - قمري
- कश्मीरी - Kashmiri - كشميري
- 한국어 - Korean - كوري
- македонски - Macedonian - مقدوني
- bahasa Melayu - Malay - ملايو
- മലയാളം - Malayalam - مليالم
- magyar - Hungarian - هنجاري مجري
- हिन्दी - Hindi - هندي
- Hausa - Hausa - هوسا
- Èdè Yorùbá - Yoruba - يوربا
- ελληνικά - Greek - يوناني
- қазақ тілі - Kazakh - كازاخي
- فارسی - Persian - فارسي
- Türkçe - Turkish - تركي
- עברית - Hebrew - عبري
- 中文 - Chinese - صيني
- Bahasa Indonesia - Indonesian - إندونيسي
- Wikang Tagalog - Tagalog - فلبيني تجالوج
- dansk - Danish - دنماركي
- Français - French - فرنسي
- English - English - إنجليزي
- پښتو - Pashto - بشتو
- Tamazight - Tamazight - أمازيغي
- አማርኛ - Amharic - أمهري
- أنكو - أنكو - أنكو
- ئۇيغۇرچە - Uyghur - أيغوري
- Luganda - Ganda - لوغندي
- Русский - Russian - روسي
- العربية - Arabic - عربي
- తెలుగు - Telugu - تلقو
- 日本語 - Japanese - ياباني
- ትግርኛ - Tigrinya - تجريني
- غموقي - غموقي - غموقي
- Кыргызча - Кyrgyz - قرغيزي
- नेपाली - Nepali - نيبالي
- Kurdî - Kurdish - كردي
- italiano - Italian - إيطالي
- Nederlands - Dutch - هولندي
- čeština - Czech - تشيكي
- українська - Ukrainian - أوكراني
- eesti - Estonian - إستوني
- suomi - Finnish - فنلندي
- Адыгэбзэ - Адыгэбзэ - شركسي
- Norwegian - Norwegian - نرويجي
- latviešu - Latvian - لاتفي
- slovenščina - Slovene - سلوفيني
- монгол - Mongolian - منغولي
- íslenska - Icelandic - آيسلندي
- ქართული - Georgian - جورجي
- tamashaq - tamashaq - طارقي
- ދިވެހި - Dhivehi - ديفهي
- Հայերէն - Armenian - أرميني
- slovenčina - Slovak - سلوفاكي
- Afrikaans - Afrikaans - أفريقاني
- Türkmençe - Turkmen - تركماني
- башҡорт теле - Bashkir - بلوشي
- afaan oromoo - Oromoo - أورومو
- ភាសាខ្មែរ - Khmer - خميرية
- ಕನ್ನಡ - Kannada - كنادي
- Bassa - الباسا
- Lingala - لينغالا
- lietuvių - Lithuanian - ليتواني
- bamanankan - Bambara - بامبارا
- Soninke - Soninke - سوننكي
- Malagasy - Malagasy - ملاغاشي
- Mandinka - Mandinka - مندنكا
- Sängö - سانجو
- Wollof - Wolof - ولوف
- Cham - Cham - تشامي
- Српски - Serbian - صربي
- Afaraf - Afar - عفري
- Kinyarwanda - Kinyarwanda - كينيارواندا
- Jóola - جوالا
- Bi zimanê Kurdî - Bi zimanê Kurdî - كردي كرمنجي
- Akan - Akan - أكاني
- Chichewa - Nyanja - شيشيوا
- авар мацӀ - أوارية
- isiXhosa - خوسي
- मराठी - Marathi - ماراثي
- ગુજરાતી - غوجاراتية
- ГӀалгӀай - ГӀалгӀай - إنغوشي
- Mõõré - Mõõré - موري
- অসমীয়া - Assamese - آسامي
- Maguindanao - Maguindanaon - فلبيني مقندناو
- Dagbani - دغباني
- Yao - ياؤو
- Ikirundi - كيروندي
- Bisaya - بيسايا
- Ruáingga - روهينجي
- فارسی دری - دري
- Sesotho - سوتي
- ਪੰਜਾਬੀ - بنجابي
- créole - كريولي
- ພາສາລາວ - لاو
- hrvatski - كرواتي
- Qhichwa simi - كيشوا
- aymar aru - أيمري
- ଓଡ଼ିଆ - أوديا
- Igbo - إيجبو
- Fɔ̀ngbè - فون
- Mɛnde - مندي
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 04 - (Kiswahili)
- Yasini Twaha Hassani
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 03 - (Kiswahili)
- Yasini Twaha Hassani
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 02 - (Kiswahili)
- Yasini Twaha Hassani
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Miujiza ni kwa Mitume wa Mwenyezi Mungu na imebainisha tofauti kati ya karama na uchawi, na kwamba karama inakua kwa mtu mwema na uchawi ni kwa mtu muovu, pia inazungumzia miongoni mwa dalili za miujiza.
Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 01 - (Kiswahili)
- Yasini Twaha Hassani
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 16 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Maneno na wasia wa Mtume (s.a.w) kwa binti yake Fatwima na imeelezea heshima na adabu aliyokuwa nayo Fatwima (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya Ummu Kuluthum mtoto wa Mtume (s.a.w).
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 15 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Maimuna bint Harith na kwamba ni katika wakeze Mtume (s.a.w) waliosifika na ucha Mungu, pia imeelezea habari za bi Fatwima na Ally bin Abiy Twalib (r.a).
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 14 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Uzinduo kwa akina mama wa kiislamu na kuwausia kufuata mwenendo wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia idadi ya wakeze Mtume (s.a.w), na umuhimu wa kufanya uadilifu na sulhu katika ndoa.
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 13 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Nasaha kwa wanawake wote wa kiislamu kupitia mifano ya wanawake wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhumu wa kushikamana na dini na kujiepusha na tabia mbaya za kimagharibi.
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 12 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Sababu ya mama Aisha (r.a) kuachwa na msafara na hatimaye kusaidiwa na Swahaba Swaf’wan bin Muwatwal (r.a), pia imezungumzia hatari na maafa ya ulimi.
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 11 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Maneno aliyosema mama Aisha (r.a) kabla ya kushuka Aya kwa Mtume (s.a.w) za kumtakasa kutokana na uchafu aliozushiwa, pia imezungumzia hatari ya kumzushia muislamu uchafu wa zinaa na kwamba ni katika madhambi makubwa.
Wanawake Katika Nyumba Ya Mtume (s.a.w) 10 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) kumruhusu bi Aisha (r.a) kwenda kwao wakati akisubiri suluhisho kutoka kwa Allah kutokana na uzushi aliozushiwa, pia imezungumzia kilio alicholia mama Aisha (r.a) mbele ya wazazi wake.