Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ambayo imeelezea makatazo ya kuoga katika maji yalio tuwama mahala pamoja, kisha akabainisha maana ya maneno ya hadithi na tafsiri ya hadithi kisha akafafanua kuhusu upokezi wa hadithi hii.
- Lugha zote
- português - Portuguese - برتغالي
- azərbaycanca - Azerbaijani - أذري
- اردو - Urdu - أردو
- Ўзбек - Uzbek - أوزبكي
- Deutsch - German - ألماني
- Shqip - Albanian - ألباني
- español - Spanish - إسباني
- فلبيني مرناو - فلبيني مرناو - فلبيني مرناو
- براهوئي - براهوئي - براهوئي
- български - Bulgarian - بلغاري
- বাংলা - Bengali - بنغالي
- ဗမာ - Burmese - بورمي
- bosanski - Bosnian - بوسني
- polski - Polish - بولندي
- தமிழ் - Tamil - تاميلي
- ไทย - Thai - تايلندي
- татар теле - Tatar - تتاري
- română - Romanian - روماني
- isiZulu - Zulu - زولو
- سنڌي - Sindhi - سندي
- සිංහල - Sinhala - سنهالي
- Kiswahili - Swahili - سواحيلي
- svenska - Swedish - سويدي
- нохчийн мотт - Chechen - شيشاني
- Soomaali - Somali - صومالي
- тоҷикӣ - Tajik - طاجيكي
- غجري - غجري - غجري
- فلاتي - فلاتي - فلاتي
- Pulaar - Fula - فولاني
- Tiếng Việt - Vietnamese - فيتنامي
- قمري - قمري - قمري
- कश्मीरी - Kashmiri - كشميري
- 한국어 - Korean - كوري
- македонски - Macedonian - مقدوني
- bahasa Melayu - Malay - ملايو
- മലയാളം - Malayalam - مليالم
- magyar - Hungarian - هنجاري مجري
- हिन्दी - Hindi - هندي
- Hausa - Hausa - هوسا
- Èdè Yorùbá - Yoruba - يوربا
- ελληνικά - Greek - يوناني
- қазақ тілі - Kazakh - كازاخي
- فارسی - Persian - فارسي
- Türkçe - Turkish - تركي
- עברית - Hebrew - عبري
- 中文 - Chinese - صيني
- Bahasa Indonesia - Indonesian - إندونيسي
- Wikang Tagalog - Tagalog - فلبيني تجالوج
- dansk - Danish - دنماركي
- Français - French - فرنسي
- English - English - إنجليزي
- پښتو - Pashto - بشتو
- Tamazight - Tamazight - أمازيغي
- አማርኛ - Amharic - أمهري
- أنكو - أنكو - أنكو
- ئۇيغۇرچە - Uyghur - أيغوري
- Luganda - Ganda - لوغندي
- Русский - Russian - روسي
- العربية - Arabic - عربي
- తెలుగు - Telugu - تلقو
- 日本語 - Japanese - ياباني
- ትግርኛ - Tigrinya - تجريني
- غموقي - غموقي - غموقي
- Кыргызча - Кyrgyz - قرغيزي
- नेपाली - Nepali - نيبالي
- Kurdî - Kurdish - كردي
- italiano - Italian - إيطالي
- Nederlands - Dutch - هولندي
- čeština - Czech - تشيكي
- українська - Ukrainian - أوكراني
- eesti - Estonian - إستوني
- suomi - Finnish - فنلندي
- Адыгэбзэ - Адыгэбзэ - شركسي
- Norwegian - Norwegian - نرويجي
- latviešu - Latvian - لاتفي
- slovenščina - Slovene - سلوفيني
- монгол - Mongolian - منغولي
- íslenska - Icelandic - آيسلندي
- ქართული - Georgian - جورجي
- tamashaq - tamashaq - طارقي
- ދިވެހި - Dhivehi - ديفهي
- Հայերէն - Armenian - أرميني
- slovenčina - Slovak - سلوفاكي
- Afrikaans - Afrikaans - أفريقاني
- Türkmençe - Turkmen - تركماني
- башҡорт теле - Bashkir - بلوشي
- afaan oromoo - Oromoo - أورومو
- ភាសាខ្មែរ - Khmer - خميرية
- ಕನ್ನಡ - Kannada - كنادي
- Bassa - الباسا
- Lingala - لينغالا
- lietuvių - Lithuanian - ليتواني
- bamanankan - Bambara - بامبارا
- Soninke - Soninke - سوننكي
- Malagasy - Malagasy - ملاغاشي
- Mandinka - Mandinka - مندنكا
- Sängö - سانجو
- Wollof - Wolof - ولوف
- Cham - Cham - تشامي
- Српски - Serbian - صربي
- Afaraf - Afar - عفري
- Kinyarwanda - Kinyarwanda - كينيارواندا
- Jóola - جوالا
- Bi zimanê Kurdî - Bi zimanê Kurdî - كردي كرمنجي
- Akan - Akan - أكاني
- Chichewa - Nyanja - شيشيوا
- авар мацӀ - أوارية
- isiXhosa - خوسي
- मराठी - Marathi - ماراثي
- ગુજરાતી - غوجاراتية
- ГӀалгӀай - ГӀалгӀай - إنغوشي
- Mõõré - Mõõré - موري
- অসমীয়া - Assamese - آسامي
- Maguindanao - Maguindanaon - فلبيني مقندناو
- Dagbani - دغباني
- Yao - ياؤو
- Ikirundi - كيروندي
- Bisaya - بيسايا
- Ruáingga - روهينجي
- فارسی دری - دري
- Sesotho - سوتي
- ਪੰਜਾਬੀ - بنجابي
- créole - كريولي
- ພາສາລາວ - لاو
- hrvatski - كرواتي
- Qhichwa simi - كيشوا
- aymar aru - أيمري
- ଓଡ଼ିଆ - أوديا
- Igbo - إيجبو
- Fɔ̀ngbè - فون
- Mɛnde - مندي
Sherhu Umdatul Ahkam 21 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.
Sherhu Umdatul Ahkam 20 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kutawadha vizuri, na uhatari wa kuharakisha kutia udhu, kisha amewahusia watu waoshe viungo vizuri wakati wa kutawadha, katika hadithi: Udhu ni katika matendo mema, miguu inaoshwa katika kutawadha, mwenye kuacha mabaka katika kutawadha ataadhibiwa.
Sherhu Umdatul Ahkam 19 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tatu, amebainisha daraja ya hadithi hiyo na akafafanua baadhi ya maneno katika hadithi kama vile (waylu) na (aqaab).
Sherhu Umdatul Ahkam 18 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kujifunza mambo ya muhimu katika udhu kabla ya kuswali, kisha akataja faida zinazo tokana na hadithi: swala ya mwenye hadathi haikubaliwi, hadadhi ni katika vitenguzi vya udhu…
Sherhu Umdatul Ahkam 17 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.
Sherhu Umdatul Ahkam 16 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Maana ya hadithi kwa ujumla kisha historia fupi ya Swahaba Abuu Hurayra, kisha akabainisha maana ya kauli ya Mtume (s.a.w): (hakubali) katika hadithi, kisha akaweka wazi tofauti baina ya hadath na najsi.
Sherhu Umdatul Ahkam 15 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: marejeo mafupi ya hadithi iliyo tangulia kisha akaanza kufafanua hadithi ya pili katika hadithi za kitabu cha Umdatul Ahkam..
Sherhu Umdatul Ahkam 14 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: rai za wanachuoni kuhusiana na hadithi ya Omar bin khatwab, na kwamba hadithi hii ni msingi katika misingi ya kisheria, na kwamba ni nusu ya elimu.
Sherhu Umdatul Ahkam 13 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya kwanza kazungumzia maana ya matendo, akaeleza tofauti baina ya niya na kuazimia, kisha akaeleza kusudio la kuhama katika uislam.
Sherhu Umdatul Ahkam 12 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: maana ya kuhama na kwamba niya inaweza kubadilisha matendo kisha akasema kuwa hadithi ya niya ni nusu ya elimu.
Sherhu Umdatul Ahkam 11 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: mlango wa kwanza katika kitabu cha Umdatul Ahkam, kisha akabainisha maana ya twahara, kisha akaanza kusherehesha hadithi yakwanza na kutaja historia fupi ya maisha ya Omar bin Khatwab kwa ufupi (r.a).