Shekh anazungumzia: Jinsi zilivyo kusanywa hadithi, kisha amebainisha namna ya kusherehesha hadithi ikiwemo kusoma hadithi kisha kufafanua maneno ya kiarabu kisha kubainisha faida zilizo patiana katika hadithi.
- Lugha zote
- português - Portuguese - برتغالي
- azərbaycanca - Azerbaijani - أذري
- اردو - Urdu - أردو
- Ўзбек - Uzbek - أوزبكي
- Deutsch - German - ألماني
- Shqip - Albanian - ألباني
- español - Spanish - إسباني
- فلبيني مرناو - فلبيني مرناو - فلبيني مرناو
- براهوئي - براهوئي - براهوئي
- български - Bulgarian - بلغاري
- বাংলা - Bengali - بنغالي
- ဗမာ - Burmese - بورمي
- bosanski - Bosnian - بوسني
- polski - Polish - بولندي
- தமிழ் - Tamil - تاميلي
- ไทย - Thai - تايلندي
- татар теле - Tatar - تتاري
- română - Romanian - روماني
- isiZulu - Zulu - زولو
- سنڌي - Sindhi - سندي
- සිංහල - Sinhala - سنهالي
- Kiswahili - Swahili - سواحيلي
- svenska - Swedish - سويدي
- нохчийн мотт - Chechen - شيشاني
- Soomaali - Somali - صومالي
- тоҷикӣ - Tajik - طاجيكي
- غجري - غجري - غجري
- فلاتي - فلاتي - فلاتي
- Pulaar - Fula - فولاني
- Tiếng Việt - Vietnamese - فيتنامي
- قمري - قمري - قمري
- कश्मीरी - Kashmiri - كشميري
- 한국어 - Korean - كوري
- македонски - Macedonian - مقدوني
- bahasa Melayu - Malay - ملايو
- മലയാളം - Malayalam - مليالم
- magyar - Hungarian - هنجاري مجري
- हिन्दी - Hindi - هندي
- Hausa - Hausa - هوسا
- Èdè Yorùbá - Yoruba - يوربا
- ελληνικά - Greek - يوناني
- қазақ тілі - Kazakh - كازاخي
- فارسی - Persian - فارسي
- Türkçe - Turkish - تركي
- עברית - Hebrew - عبري
- 中文 - Chinese - صيني
- Bahasa Indonesia - Indonesian - إندونيسي
- Wikang Tagalog - Tagalog - فلبيني تجالوج
- dansk - Danish - دنماركي
- Français - French - فرنسي
- English - English - إنجليزي
- پښتو - Pashto - بشتو
- Tamazight - Tamazight - أمازيغي
- አማርኛ - Amharic - أمهري
- أنكو - أنكو - أنكو
- ئۇيغۇرچە - Uyghur - أيغوري
- Luganda - Ganda - لوغندي
- Русский - Russian - روسي
- العربية - Arabic - عربي
- తెలుగు - Telugu - تلقو
- 日本語 - Japanese - ياباني
- ትግርኛ - Tigrinya - تجريني
- غموقي - غموقي - غموقي
- Кыргызча - Кyrgyz - قرغيزي
- नेपाली - Nepali - نيبالي
- Kurdî - Kurdish - كردي
- italiano - Italian - إيطالي
- Nederlands - Dutch - هولندي
- čeština - Czech - تشيكي
- українська - Ukrainian - أوكراني
- eesti - Estonian - إستوني
- suomi - Finnish - فنلندي
- Адыгэбзэ - Адыгэбзэ - شركسي
- Norwegian - Norwegian - نرويجي
- latviešu - Latvian - لاتفي
- slovenščina - Slovene - سلوفيني
- монгол - Mongolian - منغولي
- íslenska - Icelandic - آيسلندي
- ქართული - Georgian - جورجي
- tamashaq - tamashaq - طارقي
- ދިވެހި - Dhivehi - ديفهي
- Հայերէն - Armenian - أرميني
- slovenčina - Slovak - سلوفاكي
- Afrikaans - Afrikaans - أفريقاني
- Türkmençe - Turkmen - تركماني
- башҡорт теле - Bashkir - بلوشي
- afaan oromoo - Oromoo - أورومو
- ភាសាខ្មែរ - Khmer - خميرية
- ಕನ್ನಡ - Kannada - كنادي
- Bassa - الباسا
- Lingala - لينغالا
- lietuvių - Lithuanian - ليتواني
- bamanankan - Bambara - بامبارا
- Soninke - Soninke - سوننكي
- Malagasy - Malagasy - ملاغاشي
- Mandinka - Mandinka - مندنكا
- Sängö - سانجو
- Wollof - Wolof - ولوف
- Cham - Cham - تشامي
- Српски - Serbian - صربي
- Afaraf - Afar - عفري
- Kinyarwanda - Kinyarwanda - كينيارواندا
- Jóola - جوالا
- Bi zimanê Kurdî - Bi zimanê Kurdî - كردي كرمنجي
- Akan - Akan - أكاني
- Chichewa - Nyanja - شيشيوا
- авар мацӀ - أوارية
- isiXhosa - خوسي
- मराठी - Marathi - ماراثي
- ગુજરાતી - غوجاراتية
- ГӀалгӀай - ГӀалгӀай - إنغوشي
- Mõõré - Mõõré - موري
- অসমীয়া - Assamese - آسامي
- Maguindanao - Maguindanaon - فلبيني مقندناو
- Dagbani - دغباني
- Yao - ياؤو
- Ikirundi - كيروندي
- Bisaya - بيسايا
- Ruáingga - روهينجي
- فارسی دری - دري
- Sesotho - سوتي
- ਪੰਜਾਬੀ - بنجابي
- créole - كريولي
- ພາສາລາວ - لاو
- hrvatski - كرواتي
- Qhichwa simi - كيشوا
- aymar aru - أيمري
- ଓଡ଼ିଆ - أوديا
- Igbo - إيجبو
- Fɔ̀ngbè - فون
- Mɛnde - مندي
Sherhu Umdatul Ahkam 09 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: maana ya Bismilahi aliyo iandika mtunzi wa kitabu kabla hajaanza kuzungumzia mlango wa twahara, na sababu ya kuanza na bismilahi kisha akazungumzia umuhimu wa kuanza na bismilahi katika kila jambo.
Sherhu Umdatul Ahkam 08 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: riwaya ya Imamu shafy kwamba asiye tumia hadithi za Mtume (s.a.w) ni sawa na mkristo, kisha ametaja uwajibu wa kuwachukia wanao kanusha maneno ya Mtume (s.a.w) kisha akataja dalili za kiakili zinazo thibitisha kuwepo kwa hadithi za Mtume (s.a.w).
Sherhu Umdatul Ahkam 07 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Itikadi mbaya za wanao pinga hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba wanao pinga hadithi za mtume (s.a.w) ni Mazindiq na ni Mashia, kisha akazungumzia kwa ufupi kuhusu itikadi zao chafu.
Sherhu Umdatul Ahkam 06 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Uchafu wa wenye kupinga hadithi za mtume (s.a.w) kisha amenukuu maneno ya Imamu Suyutwiy ambayo yamebainisha hukumu ya mwenye kukanusha hadithi za Mtume (s.a.w) kuwa ni kafiri.
Sherhu Umdatul Ahkam 05 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: njia za kuifanyia kazi Qur’an kupitia matendo ya Mtume (s.a.w) kisha amebainisha baadhi ya vitabu ambavyo vina warudi wenye kupinga hadithi za Mtume (s.a.w).
Sherhu Umdatul Ahkam 04 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Umuhimu wa elimu ya hadithi, kisha amebainisha kwamba asiye amini kuwa hadithi ni hoja basi atakuwa adui wa uislam, kisha amebainisha maana ya kumtii mtume (s.a.w)
Sherhu Umdatul Ahkam 03 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Wadhfa wa Hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba zinaweka wazi na kufafanua namna ya utekelezaji wa amri za Qur’an tukufu, pia amezungumza maneno ya Imamu Suyutwi kuhusu cheo cha hadithi za mtume(s.a.w).
Sherhu Umdatul Ahkam 02 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Utangulizi wa mtunzi pia amezungumzia Umuhimu wa elim ya hadithi, na maana ya hadithi, na cheo cha Quraan na Sunnah pia amewarudi wenye kuzipinga Hadithi.
Sherhu Umdatul Ahkam 01 - (Kiswahili)
- Twaha Sulaiman Bane
- 19/10/2022
Shekh anazungumzia: Historia fupi ya mwandishi wa kitabu hiki cha umdatul ahkami, Shekh Abdul Ghany Al Maqisy Allah amrehemu, na umuhim wa kuifanyia kazi elim.
Utamu wa ndoa 14 - (Kiswahili)
- Abdurahmani Muhina
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Sababu za mwanamke kuwa na kiburi katika nyumba, pia imezungumzia hatari kwa mwanamke mwenyekutaka kuwa juu ya mumewe ndani ya ndoa.
Utamu wa ndoa 13 - (Kiswahili)
- Abdurahmani Muhina
- 19/10/2022
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanamke kutulia nyumbani kwake na kujiepusha na marafiki waovu, pia imezungumzia hatari ya maasi.