×
Image

HUKUMU ZA TWAHARA - (Kiswahili)

Kitabu kilicho tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kinazungumzia: Hukumu za twahara ikiwemo namna ya kutawadha, na kuoga, na kutayamam, na kupangusa kwenye khofu, na namna ya kujitwaharisha mginjwa, na namna ya kuswali mgonjwa.

Image

HUKUMU YA ANAEFUNGA HALI YA KUWA HASWALI - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: hukumu ya mtu anaefunga ilihali hasali pia amezungumzia hukumu ya asie swali nimuislam au nikafiri, pia akazungumzia hukumu ya mtu anaesahau swala zake.

Image

BID’A YA MAWLIDI - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Bidaa za sherehe za mazazi ya Mtume(s.a.w)

Image

Ni nini maana ya Laa ilaha ila Allah? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Uhatari Wa Kumshirisha Mwenyezimungu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.

Image

Itikadi Dahihi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.

Image

KUWA NA TAWHID YA KWELI NI SABABU YA KUPATA MWISHO MWEMA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Bishara wanayopewa na Allah watu wenye tawhid na msimamo wa kweli katika imani na ucha Mungu.

Image

Umuhimu wa Sunna - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna uislamu ulivyo na hali mbaya kwa sasa kutokana na watu kuacha Sunna za Mtume (s.a.w), pia imefafanua maana ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni mjumbe wa Allah. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Utume, na kwamba Mitume wote (s.a.w) ni chaguo la Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia....

Image

Maana ya Ibada - (Kiswahili)

Mada hii ni fatwa ambayo nimaswali aliyo yajibu Shaykh Muhammad ibn Saalih al-’Uthaymeen (Allah amrehemu) na swali nihili: Nini maana ya Ibada? Je, ina maana ya ujumla na maana maalumu ?.

Image

Mafungamani ya Shahada na Aina za Tawhiid - (Kiswahili)

Mada hii ni fatwa ambayo nimaswali aliyo yajibu Shaykh Muhammad ibn Saalih al-’Uthaymeen (Allah amrehemu) na swali nihili: Je shahada inakusanya vigawanyo vya Tawhid?.

Image

Aina za Tawhiidi - (Kiswahili)

Mada hii ni fatwa ambayo nimaswali aliyo yajibu Shaykh Muhammad ibn Saalih al-’Uthaymeen (Allah amrehemu) na swali nihili: Niweke wazi kuhusu aina za Tauhidi kwa urefu na mifano yake?.