×
Image

Salah Mohammed Budair

Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

Image

Mustafa Ismaili

No Description

Image

Idara ya Utafiti wa kielimu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu

Idara ya Utafiti wa kielimu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madiana Almunawarah

Image

Hussein bin Abdul Aziz Al-Sheikh

Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

Image

Abdul Bari Althbyta

Imamu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w)

Image

Ghazi bin Ali Sultan Dagestani

Ghazi bin Ali Sultan Dagestani Amehitimu masomo yake ya Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina

Image

ABUU KARIIM ALMARAKISHY

ABUU KARIIM ALMARAKISHY Nimtafiti katika kulinganisha usahihi wa dini

Image

Ibrahim Abu Harb

Nimhitimu wa Kitivo cha Sharia,na anajihusisha na kufanya daawa kwanjia ya mitandao kwa njia ya mazungumzo na tovuti tofauti,ameanzisha tovuti nyingi za kiislam,ikiwemo : http://www.islam-guide.com na http://www.islamreligion.com,na nimwandaaji na mkusanyaji mashuhuri wa kitabu: "Mwongozo ulio fupishwa kwaajili ya kuufahamu uislam".Ambacho kimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 45 na kuchapishwa kwake mamilioni.

Image

Qasim Mafuta

Shekh Qasim Mafuta: Amehitim masomo katika Chuo kikuu cha kiislam Madina Nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni Mlinganiaji maarufu nchini Tanzania na nje ya Tanzani, pia ni Mudir katika markazi yake, Pongwe Tanga Tanzania.-

Image

Shahidi Muhamad Zaid

Shekh Shahidi Muhammad Zaid: Amehitim masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Ni mlinganiaji katika mji wa Mwanza Tanzania.