×
Image

Muhammad Ayuub

No Description

Image

Yusufu Abdi

Shekh Yusuf Abdi: Ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa nchini Kenya.-

Image

Mustafa La’aghoni

No Description

Image

ZAID BASHIR

Sheikh: Zaidi Bashiri ni mmoja katika walinganiaji wa kisunna mwenyeji wa Mombasa Kenya pia ni mwanafunzi wa Sheikh: Abdallah Al-farisi Mfasiri wa Qur’ani tukufu kwa lugha ya kiswahili, nimtowaji wa mawaidha kwanjia ya Ahlu sunna wal-jamaa.

Image

Nasoro Abdallah Bachu

Shekh Nassor Abdallah Bachu: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Tanzania, na alikua akitoa Darsa katika misikiti mbalimbali ndani na nje ya visiwa vya Zanzibar, pia alikua ni Imamu na Khatwib katika Msikiti wa Rahaleo Zanzibar mpaka anafariki dunia, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

Image

Aly bin muhammad Al Qudhwayby

Abuu Khalifah Aly bin muhammad Al Qudhwayby,alikuwa katika itikida ya shia,akabadirika akawa katika itikadi sahihi ya sunna,shukurani zote niza Allah.

Image

Salah Bukhatir

No Description

Image

Nurdin Kishki

-Shekh Nurdin Kishki: Ni mlinganiaji na ni Imamu na Khatib katika Msikiti wa Vetinari Temeke Dar es salaam Tanzania.

Image

Swalehe Ibrahim

No Description

Image

Husseni Saidi Sembe

Shekh Husseni Saidi Sembe: Ni mlinganiaji katika mkoa wa Kilimanjaro, na ni Imamu na Khatib katia Msikiti wa Answari Moshi Tanzania.