×
Image

UBORA WA TAWHIYD - (Kiswahili)

Makala hii inazunguzia: Ubora wa Tawhiyd na kwambaTawhiyd Ni Bora kuliko Mali Na Starehe Za Duniani Na Neno La Tawhiyd nizito katika mizani kuliko mbingu saba na ardhi saba.

Image

Sababu Ya Kukufuru Wanadamu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia sababu ya kukufuru wanadamu na kuiacha dini ya mwenyezi mungu na kuingia katika ushirikina.

Image

Umuhimu Wa Tawheed - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:Utukufu wa muislam kuwa na lailaha Illa Allah katika maisha yake, na mambo mengi alio yafanya Allah kwasababu ya neon hilo, na kuna habari njema kuwa mwenye kufa bila kufanya ushirikina ataingia peponi.

Image

Namna ya kutawadha - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Namna ya kutawadha, na umuhim wa kudum na udhu kwani hakika udhu ni silaha kwa Muumini.

Image

MAANA YA LAILAHA ILLA ALLAH - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia maana ya laailaha ila Allah fadhila zake na ukubwa wake.

Image

Ujumbe mmoja - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu wa tawhidi ya kweli na kwamba Mitume wote wa Allah walitumwa kuja kuwafundisha watu tawhidi ya kweli nayo ni kumuabudu Allah peke yake na kujiepusha na shirki.

Image

FADHILA ZA MASWAHABA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia fadhila na visa vya Maswahaba wa Mtume Muhammad (S.a.w)

Image

TOFAUTI YA WASHIRIKINA WA SASA NA WASHIRIKINA WA ZAMANI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia utofauti wa washirikina wa zama zetu na washirikina zamani

Image

KUCHUPA MIPAKA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia kuchupa mipaka katika Dini.

Image

TAWASWUL YA SHERIA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia binadam kumuomba na kutegemea Allah pindi anapofikwa na matatizo.

Image

TAWASULU ISIYO YA KISHERIA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia tawasulu iliyokatazwa na madhara yake.

Image

Uislamu Aliokuja Nao Mtume Muhammad (S.A.W) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Uislamu aliokuja nao Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na namna alivyolingania watu katika uislamu na huruma kwa umma wake, na uislam haikuja kwa upanga.