×
Image

Nini maana ya uchawi na majinni ? - (Kiswahili)

Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.

Image

Hatari Ya Ushirikina 2 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ubaya wa ushirikina na haatari ya kumsingizia mwanamke uchafu wa zinaa na kwamba uislamu umelinda hadhi na heshima ya mwanamke, pia imezungumzia maana ya msemo: “Hakuna anae towa fatwa na Imamu maliki akiwa madina”.

Image

Je, inafaa kumhukumu muislam maalum kuwa ni kafiri - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Je, ukafiri upo aina ngapi? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Ni ipi tofauti kati ya ushirikina mdogo na ushirikina mkubwa? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Pepo na Moto 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa majina ya Pepo, pia imezungumzia namna watu watavyoingia Peponi kwa rehma za Alla.

Image

Pepo na Moto 07 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Pepo ya A’dni Allah ameiumba kwa Mkono Wake, pia imezungumzia miongoni mwa neema za Peponi.

Image

Pepo na Moto 05 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Pepo iko juu na Mwenyezi Mungu ameshaiumba inasubiri watu wake, pia imezungumzia umuhimu wa kuomba Pepo ya juu zaidi (Firdaus).

Image

Pepo na Moto 03 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ahadi ya Mwenyezi Mungu kwa watu wa Peponi, pia imezungumzia namna watu wa Peponi watakavyo muona Allah (S.w).

Image

Pepo na Moto 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Pepo imezungukwa na yanayo mkera mja, na Moto umezungukwa na starehe, pia imezungumzia muhimu wa kujitahidi kufanya ibada na kuacha starehe na maasi.

Image

Pepo na Moto 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Milango nane ya Peponi na watakaoingi katika milango hiyio, pia imezungumzia kuwa ibada ndio zinazo wapelekea watu kuingia Peponi.

Image

Je, inawezekana Mwenyezi Mungu Mtukufu kuonekana kwa macho? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.