×
Image

Cheo cha Maswahaba - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia cheo cha maswahaba,na nafasi yao katika umma wa kiislam, na thamani yao kwa allah,na uwajibu wa kutetea heshima yao.

Image

Itikadi Dahihi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.

Image

Sifa Ya Swala Ya Mtume (S.A.W) - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia nanma ya kuadhini na fadhila za adhana na sifa za muadhini,na ubora wa kusoma duwa baada ya adhana na sababu za kukubaliwa dua.na sifa ya swala ya mtume alayhi salam.

Image

Dhamana Ya Kuingia Peponi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo 6 ambayo muislam amepewa dhamana ya kuingia peponi mwenye kuyahifadhi.

Image

Uislam - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia uislam,historia ya uislam. na ujumbe wa mwanadamu,na dini ya haki kwa allah,na chanzo cha kukengeuka mwanadamu,na wito wa uislam kwa ulimwengu.

Image

USHIRIKINA KATIKA IBADA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia balaa la ushirikina katika Ibadan a madhara yake.

Image

Chimbuko la amani na msingi wa mshikamano - (Kiswahili)

Khutba hii inazungumzia chimbuko la amani,na misingi ya mshikamano.

Image

Qur’an ni nini? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

Ni ipi faida ya kujua majina na sifa za Mwenyezi Mungu? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Image

HUKUMU YA ANAEFUNGA HALI YA KUWA HASWALI - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: hukumu ya mtu anaefunga ilihali hasali pia amezungumzia hukumu ya asie swali nimuislam au nikafiri, pia akazungumzia hukumu ya mtu anaesahau swala zake.

Image

UMUHIMU WATAUHIDI 2 - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Umuhimu wa Tawhiid katika Daawa na ndio jambo lakwanza linalo takiwa lianze katika daawa.