×
Image

Ubora wa hijja na faida zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia ubora wa hija na faida zake.

Image

UMATI MUHAMMAD UTAKUWA WA KWANZA KUINGIA PEPONI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia juu ya ubora wa ummat Muhammad s.a.w na kwamba ni umma wa mwisho duniani lakini akhera ndio umma utakaokua wa kwanza kuingia Peponi, pia mada hii inazungumizia namna walivyo tofautiana mayahudi na wakristo.

Image

Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija. - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija imezungumzia ubora wa masiku kumi ya Dhulhija, na ubora wa matendo mema katika masiku hayo, pia imezungumzia sifa za takbira na aina zake.

Image

Fadhila za mwezi Muharam, siku ya Ashuraa na bidaa zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia utukufu wa mwezi muharam, fadhila zake na ubora wa swaum ya Ashuraa, pamoja na tahadhari juu ya mambo yanayozushwa (bidaa) ndani yake.

Image

NI UPI USIKU WA LAYLATUL QADR ? - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Umuhimu wa Laylatul qadr na kwamba ni usiku wa cheo na fadhila nyingi sana kwa mwenye kufanya ibada, pia imezungumzia kua Laylatul qadr ni bora kuliko miezi elfu ambayo ni sawa na miaka themanini na tatu.

Image

Laylatul-Qadr- Vipi Uweze Kuupata Usiku Huu? - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Usiku wa cheo (Laylatul qadr) usiku huo ni bora kuliko miezi elfu moja, pia imezungumzia namna Mtume s.a.w alivyokua akijitahidi kufanya ibada katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan.

Image

FADHILA ZA KULA DAKU - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Fadhila za kula daku na kwamba Allah pamoja na Malaika humtakia rehma mtu mwenye kula daku, pia imezungumzia ubora wa kuchelewesha kula daku.

Image

SHEMEJI NA MIPAKA YAKE YA KISHERIA NDANI YA UISLAMU - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia misingi na mipaka ya shemeji kataka sheria ya uislam

Image

Qur'ani Tukufu ni nini? - (Kiswahili)

Qur'ani Tukufu ni nini?

Image

NGUZO ZA SWALA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia Nguzo Za Swalah, Vitendo Vya Waajibu Na Sunnah Katika Swalah.

Image

HUKUMU YA KUSHEREHEKEA VALENTINE DAY (SIKUKUU YA WAPENDANAO) - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia hukumu ya kusherehekea sikukuu ya wapendanao na chanzo cha sherehe hiyo.

Image

MATENDO YANAYO TAKIWA KUFANYWA,NA YANAYO TAKIWA KUYAEPUKA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAJAB - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mambo yanayo yakiwa kufnywa katika mwezi mtukufu wa rajab na mambo ambayo inatakiwa kujiepusha nayo katika mwezi wa rajab.