×
Image

KINGA YA MUISLAM - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia namna ya kujikinga kutokana na shetani na hatari ya kujikikinga kwa asiyekua Allah.

Image

HUKUMU YA ANAEFUNGA HALI YA KUWA HASWALI - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: hukumu ya mtu anaefunga ilihali hasali pia amezungumzia hukumu ya asie swali nimuislam au nikafiri, pia akazungumzia hukumu ya mtu anaesahau swala zake.

Image

UBORA WA TAWHIYD - (Kiswahili)

Makala hii inazunguzia: Ubora wa Tawhiyd na kwambaTawhiyd Ni Bora kuliko Mali Na Starehe Za Duniani Na Neno La Tawhiyd nizito katika mizani kuliko mbingu saba na ardhi saba.

Image

HUKUMU ZA TWAHARA - (Kiswahili)

Kitabu kilicho tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili kinazungumzia: Hukumu za twahara ikiwemo namna ya kutawadha, na kuoga, na kutayamam, na kupangusa kwenye khofu, na namna ya kujitwaharisha mginjwa, na namna ya kuswali mgonjwa.

Image

KUCHUPA MIPAKA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia kuchupa mipaka katika Dini.

Image

BID’A YA MAWLIDI - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Bidaa za sherehe za mazazi ya Mtume(s.a.w)

Image

HISTORIA YA KRISMASI NA HUKUMU YA KUSHEREHEKEA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mas’ala ya krismasi na uzushi wake

Image

IJUWE ITIKADI YA AHLU SUNNAH WALJAMAA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahii ya Ahlusunna wa Aljamaa.

Image

ZIARA YA MADINA - (Kiswahili)

Mada hii inafafanua kuhusu ziara ya mji wa Madina,na adabu zake na mambo yasiyo takiwa kwa mwenye kutembelea madian.

Image

NASIHA FUPI KWA WAISLAMU WAPYA - (Kiswahili)

No Description

Image

HII NDIYO ITIKADI YETU - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.

Image

KUWATENDEA WEMA WAZAZI WAWILI - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia umuhim na ulazima wa kuwatendea wema wazazi wawili.