Sherhu Umdatul Ahkam 08
أعرض المحتوى باللغة العربية
Shekh anazungumzia: riwaya ya Imamu shafy kwamba asiye tumia hadithi za Mtume (s.a.w) ni sawa na mkristo, kisha ametaja uwajibu wa kuwachukia wanao kanusha maneno ya Mtume (s.a.w) kisha akataja dalili za kiakili zinazo thibitisha kuwepo kwa hadithi za Mtume (s.a.w).