×
Image

Umuhimu Wa Ikhlas Na Kumfuata Mtume - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:Umuhimu wa ikhlasi katika ibada na sababu ya kukubaliwa ibada na umuhimu wa kumfuata mtume katika kila jambo, na majuto kwa mwenye kuacha Sunnah.

Image

Ujumbe mmoja - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu wa tawhidi ya kweli na kwamba Mitume wote wa Allah walitumwa kuja kuwafundisha watu tawhidi ya kweli nayo ni kumuabudu Allah peke yake na kujiepusha na shirki.

Image

KUWA NA TAWHID YA KWELI NI SABABU YA KUPATA MWISHO MWEMA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Bishara wanayopewa na Allah watu wenye tawhid na msimamo wa kweli katika imani na ucha Mungu.

Image

UBORA WA KUAMRISHANA MEMA NA KUKATAZANA MAOVU. - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ubora wa kuamrishana mema na kukatazana maovu pia imezungumzia hatuwa za kukemea maovu katika uislam, pia amezungumzia sababu ya ummat Muhamad kuwa niuma bora.

Image

BID’A YA MAWLIDI MAANA BID’AA NA UBAINISHO WA AINA ZAKE NA HUKUMU YAKE. - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Maana ya Bidaa na aina zake

Image

CHANZO CHA KUDHIHIRIKA KWA BIDAA NA SABABU ZA KUDHIRI KWAKE - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia chanzo cha bidaa na sababu zake,na madhara za kuzusha katika dini.

Image

Masharti nane ya hijabu - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: masharti nane ya hijabu ya mwanamke wa kiislam, pia imezungumzia dalili katika Quraan na sunna juu ya hijabu ya mwanamke na uwajibu wa mwanamke kukaa nyumbani.

Image

FAIDA YA KUTOA SADAKA - (Kiswahili)

Makala hii inazunguzia: Faida ya kutoa sadaka, pia inazungumzia kwamba sada inapitia kwenye (mkono) wa Mwenyezi Mungu kabla ya kuingia mkononi mwa masikini

Image

FADHILA ZA MWEZI WA SHAABAN NA UZUSHI WA NISFU SHAABAN - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Fadhila ya Mwezi wa Shaaban na namna Mtume (s.a.w) alivyokithirisha kufunga ndani ya mwazi wa Shaaban, pia inazungumzia uzushi unaofanywa na baadhi ya waislam katika Nisfu Shaaban

Image

NI NANI KAMA MAMA? - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia ubora wa Mama kwa mwanae, katika jamii na hata mbele ya Allah (S.w)

Image

FAIDA YA KUSAMEHE NA HASARA YA KUTOSAMEHE - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ubora wa kusamehe unapokuwa na uwezo wa kulipiza kisasi, na njia za kujiepusha na hasira.

Image

UHARAMU WA KUJICHUBUA NGOZI NA KUUNGA NYWELE - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia uharamu wa kujichubuwa ngozi na kuunga nywele, madhara yake na hukumu ya kisheria katika kufanya hivyo.