translation Mwandishi : Twaha Sulaiman Bane
1

2780694.mp3

6.4 MB MP3
2

Sherhu Umdatul Ahkam 25

52 MB MP4
3

Sherhu Umdatul Ahkam 25

0 B YOUTUBE

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.

Jamii ya vilivyomo