translation Mwandishi : Twaha Sulaiman Bane
1

2780690.mp3

6.5 MB MP3
2

Sherhu Umdatul Ahkam 23

53.3 MB MP4
3

Sherhu Umdatul Ahkam 23

0 B YOUTUBE

Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tano na amebainisha upotovu wa rai ya dhwahiriya katika hadithi hii, kisha amebainisha faida za hadithi hii ikiwemo: makatazo ya kukojoa katika maji yalio tuwama, na kwamba Uislam unalinda mazingira, uislam unapiga vita uchafuzi wa mazingira, na usafi nikatika imani.

Jamii ya vilivyomo