translation Mwandishi : Abuu Hashim Abdulqaadir
1

Miezi Maalum Ya Hijja

7.3 MB MP3

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitekeleza nguzo ya Hajj, wanaopaswa kuitekeleza na namna ya kuitekeleza, pia imezungumzia miezi maalum ya Hajj kama ilivyotajwa katika Qur’an tukufu ambayo ni Shawwal, Dhul-Qaada na Dhul-Hijja

Jamii ya vilivyomo