×
Image

CHANZO CHA KUDHIHIRIKA KWA BIDAA NA SABABU ZA KUDHIRI KWAKE - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia chanzo cha bidaa na sababu zake,na madhara za kuzusha katika dini.

Image

SABABU 21 ZA KUMFANYA MUISLAM ASISHEREHEKEEA MAULIDI - (Kiswahili)

MADA HII INAZUNGUMZIA SABABU 21 AMBAZO ZINAMFANYA MUISLAM ASISHEREHEKEE MAZAZI YA MTUME S.A.W. NA INAWEKA WAZI UBATILIFU WA MAULIDI.

Image

Kwanini Muislamu haruhusiwi kusherehekea maulidi - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Sababu 22 ambazo zinamfanya Muislam asisherehekee Maulidi na uzushi wa aina yoyote katika dini ya Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia hatari ya kwenda kinyume na sheria ya kiislam.

Image

Mawlid – Historia Yake, Hukmu Na Kauli Za Maulamaa - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia Historia ya Mazazi ya Mtume Rehma na amani za Allah ziwe ju yake, na hukumu ya kusherehekea na Qauli za Wanachuoni kuhusu maulidi.

Image

TABIA NJEMA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia mwenye tabia njema hupandishwa daraja, na tabia njema ndio lilikua pambo la Mitume, Manabii na watu wema.

Image

Ubora wa hijja na faida zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia ubora wa hija na faida zake.

Image

UMATI MUHAMMAD UTAKUWA WA KWANZA KUINGIA PEPONI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia juu ya ubora wa ummat Muhammad s.a.w na kwamba ni umma wa mwisho duniani lakini akhera ndio umma utakaokua wa kwanza kuingia Peponi, pia mada hii inazungumizia namna walivyo tofautiana mayahudi na wakristo.

Image

Fadhila za mwezi Muharam, siku ya Ashuraa na bidaa zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia utukufu wa mwezi muharam, fadhila zake na ubora wa swaum ya Ashuraa, pamoja na tahadhari juu ya mambo yanayozushwa (bidaa) ndani yake.

Image

HUKUMU YA KUSHEREHEKEA VALENTINE DAY (SIKUKUU YA WAPENDANAO) - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia hukumu ya kusherehekea sikukuu ya wapendanao na chanzo cha sherehe hiyo.

Image

Swaum ya Ashuraa - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa funga ya Ashuraa na fadhila zake.

Image

NYAKATI TATU MUHIMU ZA IBADA ZISIKUPITE KATIKA RAMADHANI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia nyakati tatu muhimu ambazo haitakiwi mfungaji azipoteze akiwa amefunga.

Image

Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija. - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija imezungumzia ubora wa masiku kumi ya Dhulhija, na ubora wa matendo mema katika masiku hayo, pia imezungumzia sifa za takbira na aina zake.