×
Image

FADHILA YA SUNNA ZA MTUME S A W - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhim wa kufuata suna za Mtume (s.a.w), imezungumzia pia malipo ya wenye kunusu sunna.

Image

FADHILA ZA MWEZI WA SHAABAN NA UZUSHI WA NISFU SHAABAN - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Fadhila ya Mwezi wa Shaaban na namna Mtume (s.a.w) alivyokithirisha kufunga ndani ya mwazi wa Shaaban, pia inazungumzia uzushi unaofanywa na baadhi ya waislam katika Nisfu Shaaban

Image

FAIDA YA KUTOA SADAKA - (Kiswahili)

Makala hii inazunguzia: Faida ya kutoa sadaka, pia inazungumzia kwamba sada inapitia kwenye (mkono) wa Mwenyezi Mungu kabla ya kuingia mkononi mwa masikini

Image

SHEMEJI NA MIPAKA YAKE YA KISHERIA NDANI YA UISLAMU - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia misingi na mipaka ya shemeji kataka sheria ya uislam

Image

WALIVYO OMBA MASWAHABA ILI WAKUBALIWE SWAUM YA MWEZI WA RAMADHANI - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia namna Maswahaba walivyoomba dua ili Allah azikubali swaum zao

Image

UKWELI KUHUSU KRISMASI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mas’ala ya krismasi na uzushi wake

Image

MAMBO 10 YATAKAYOKUFANYA UWE MUME BORA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia sababu kumi zinazo mfanya mume awe bora.

Image

FUNGA YA RAMADHANI - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Mambo mbalimbali yanayohusu mwezi mtukufu wa Ramadhan, ikiwa ni pamoja na maana ya Swaumu, historia ya funga ya Ramadhan, na ubora wa swaumu na fadhila zake.

Image

UKUMBUSHO KWA WAFUNGAJI - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu na ubora na uzito wa funga ya mwezi wa Ramadhan kwa mujibu wa Aya na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) pia kimezungumzia juu ya mambo yanayo tengua swaumu.

Image

FADHILA ZA KULA DAKU - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Fadhila za kula daku na kwamba Allah pamoja na Malaika humtakia rehma mtu mwenye kula daku, pia imezungumzia ubora wa kuchelewesha kula daku.

Image

Laylatul-Qadr- Vipi Uweze Kuupata Usiku Huu? - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Usiku wa cheo (Laylatul qadr) usiku huo ni bora kuliko miezi elfu moja, pia imezungumzia namna Mtume s.a.w alivyokua akijitahidi kufanya ibada katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan.

Image

Fadhila za mwezi Muharam, siku ya Ashuraa na bidaa zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia utukufu wa mwezi muharam, fadhila zake na ubora wa swaum ya Ashuraa, pamoja na tahadhari juu ya mambo yanayozushwa (bidaa) ndani yake.