×
Image

Fadhila za Tawhid - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia fadhila za kumpwekesha Allah na kumtegemea yeye kwa kila kitu.

Image

MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA - (Kiswahili)

Kitabu hiki ina zungumzia itikadi batili za kishia.

Image

Mawlid – Historia Yake, Hukmu Na Kauli Za Maulamaa - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia Historia ya Mazazi ya Mtume Rehma na amani za Allah ziwe ju yake, na hukumu ya kusherehekea na Qauli za Wanachuoni kuhusu maulidi.

Image

Kwanini Muislamu haruhusiwi kusherehekea maulidi - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Sababu 22 ambazo zinamfanya Muislam asisherehekee Maulidi na uzushi wa aina yoyote katika dini ya Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia hatari ya kwenda kinyume na sheria ya kiislam.

Image

Nguzo Za Swala, Vitendo Vya Wajibu Na Sunna Katika Swala - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Nguzo za swala, vitendo vilivyo vya wajibu ndani ya swala na Sunna za swala, pia imezungumzia umuhimu wa kumfuata Mtume (s.a.w).

Image

Yatupasayo kufanya katika miezi mitukufu - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Ubora wa miezi mitukufu na mambo yanayo tupasa kufanya katika miezi hii, pia imeelezea juu ya mambo yaliyo katazwa kufanywa ndani ya miezi hii mitukufu.

Image

Umuhimu wa kukimbilia kutekeleza Nguzo ya Hijja - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia:Sababu za kukimbilia kutekeleza ibada ya hija miongini mwa sababu hizo: nikwamba mwanadamu hajuwi siku ya kufa, na hatuna uhakika wa kuishi, na kwasababu hija inaubora mkubwa, na kufutiwa madhambi na kuingia peponi.

Image

Kuukaribisha mwezi wa Ramadhani - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia: Namna ya kuukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan, pia imezungumzia kujiandaa kiibada na twaa ya kweli kabla ya kuingia Mwezi wa Ramadhan, na kuzidisha ibada na matendo mema ndani ya Mwezi wa Ramadhan.

Image

Laylatul-Qadr- Vipi Uweze Kuupata Usiku Huu? - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Usiku wa cheo (Laylatul qadr) usiku huo ni bora kuliko miezi elfu moja, pia imezungumzia namna Mtume s.a.w alivyokua akijitahidi kufanya ibada katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan.

Image

HUKUMU YA KUSHEREHEKEA VALENTINE DAY (SIKUKUU YA WAPENDANAO) - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia hukumu ya kusherehekea sikukuu ya wapendanao na chanzo cha sherehe hiyo.

Image

Uzushi Wa Nusu Ya Sha’baan - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia na kufafanua uzushi unaofanywa na baadhi ya watu katika mwezi wa Shaabani.

Image

UMATI MUHAMMAD UTAKUWA WA KWANZA KUINGIA PEPONI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia juu ya ubora wa ummat Muhammad s.a.w na kwamba ni umma wa mwisho duniani lakini akhera ndio umma utakaokua wa kwanza kuingia Peponi, pia mada hii inazungumizia namna walivyo tofautiana mayahudi na wakristo.