translation Mwandishi : Qasim Mafuta
1

Bid’a ya Maulidi - 6

21.3 MB MP3
2

Bid’a ya Maulidi - 5

22.47 MB MP3
3

Bid’a ya Maulidi - 4

34.98 MB MP3
4

Bid’a ya Maulidi - 3

14.54 MB MP3
5

Bid’a ya Maulidi - 2

13.3 MB MP3
6

Bid’a ya Maulidi - 1

19.4 MB MP3

1. Mada hii inazungumzia: Namna watu wa Maulidi walivyo waelewa vibaya wana chuoni na kuwasingizia uongo. 2. Mada hii inazungumzia: Maulidi ni Bidaa kwasababu Mtume s.a.w hakufanya, kwahiyo kuacha kufanya Maulidi ni Sunna na kufanya ni Bidaa. 3. Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya Bidaa na Sunna, pia imefafanua maana Sunnat Hasanah. 4. Mada hii inazungumzia: Ukweli aliouzungumza Sheikhul Islam Ibn Taymiyah kuhusu Maulidi, na uzushi anaozushiwa. 5. Mada hii inazungumzia: Ibn Taymiyah hajesema kuwa Maulidi inafaa kama wanavyodai Wazushi ( Watu wa Bidaa ). 6. Mada hii inazungumzia: Uharamu wa kusikiliza Samai za Masufi, na wala haifai kujifunza kupiga zomari.

Jamii ya vilivyomo