×
Image

HUKUMU YA KUMTAKIYA MTU KRISMASI NJEMA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia madhambi ya kumtakia mtu krismasi njema

Image

KUJITOA MUHANGA KUNAMUWEKA MTU MBALI NA ALLAH - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia hatari ya kujitoa muhanga na humuweka mwenye kujilipuwa mbali na uislam.

Image

UKWELI KUHUSU KRISMASI - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia mas’ala ya krismasi na uzushi wake

Image

NI YUPI RAFIKI MWEMA? - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhim wa kutafuta rafiki mwema

Image

KINGA YA KILA SIKU DHIDI YA SHETANI, UCHAWI, HUSDA NA KILA UBAYA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia namna ya kujikinga na kila balaa na ubaya.

Image

ADABU ZA KULA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia adabu na dua ya kula

Image

Uzushi Wa Nusu Ya Sha’baan - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia na kufafanua uzushi unaofanywa na baadhi ya watu katika mwezi wa Shaabani.

Image

FUNGA YA RAMADHANI - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Mambo mbalimbali yanayohusu mwezi mtukufu wa Ramadhan, ikiwa ni pamoja na maana ya Swaumu, historia ya funga ya Ramadhan, na ubora wa swaumu na fadhila zake.

Image

UKUMBUSHO KWA WAFUNGAJI - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu na ubora na uzito wa funga ya mwezi wa Ramadhan kwa mujibu wa Aya na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) pia kimezungumzia juu ya mambo yanayo tengua swaumu.

Image

FADHILA ZA KULA DAKU - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Fadhila za kula daku na kwamba Allah pamoja na Malaika humtakia rehma mtu mwenye kula daku, pia imezungumzia ubora wa kuchelewesha kula daku.

Image

Laylatul-Qadr- Vipi Uweze Kuupata Usiku Huu? - (Kiswahili)

Makala hii inazungumzia: Usiku wa cheo (Laylatul qadr) usiku huo ni bora kuliko miezi elfu moja, pia imezungumzia namna Mtume s.a.w alivyokua akijitahidi kufanya ibada katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan.

Image

VIPI ANATAKIWA AWE MWANAMKE MWEMA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia mwanamke bora ni Yule mwenye kuimarisha ndoa yake kwa kutekeleza haki za mumewe.